• mchomoka@gmail.com

  • Call Us: +255 769 982 572 | +255 717 583 713 | +255 788 815 842

Chuo kitafunguliwa tarehe 03/08/2020 siku ya jumatatu

wanachuo wote waliohitimu basic technician certificate NTA 4, na kuendelea technician certificate NTA 5 hawataripa gharama za form kwa ajili ya usajili wa hapa chuoni, Watatakiwa kufika ofisi ya admission hukuwishiwa taarifa zao kwa ajili ya kuendelea akiwa na bunda 1 la karatasi  (rim paper1) tu. Hii ni kwa wanachuo wote wanaingia hatua (level) nyingine baada ya kumaliza  hatua 1 (level) na kuingia nyingine, yaani Basic Technician Certificate  NTA LEVEL  4, Technician Certificate  NTA LEVEL 5, & Ordinary Diploma NTA LEVEL 6.

Masomo yataanza tarehe 03/08/2020, muda wa kuripoti na tarehe ya mwisho baada ya kufungua chuo  ni siku ya jumatano tarehe  12/08/2020

MITIHANI MAARUMU NA YA MARUDIO (SPECIAL AND SUPPLIMENTARY)

Mitihani maarum na ya marudio (special and supplementary) itaanza tarehe  

10-14/08/2020. Wanachuo wote watakao husika kufanya mitihani maarumu na ya marudio  (special and supplementary) mtatakiwa kukamilisha taratibu zote kabla ya wiki/tarehe ya mitihani kuanza.

MUHIMU

Mwanachuo kumbuka kulipa ada kwa  wakati tena kwa utaratibu stahihiki ili kuepuka usumbufu

Baada ya tarehe ya mwisho ya kuripoti yaani  12/08/2020, hatutampokea mwanachuo yeyote atakaekuwa amechelewa.

ANGALIZO:

Mwanachuo wa kutwa (day) hatutopokea ombi /maombi yanayohusu upungufu au ukosefu  wa ada kwa wakati au kwa namna yoyote ile kwa kuongezewa muda au kulipa malipo tofauti na kiwango elekezi.

Mwanachuo, adhabu kali itatolewa kwa yeyote asieyetii maagizo husuni kwa wale wote ambao hawafanyi mitihani kwa muda elekezi.  

 

 Imetolewa na mkurugenzi wa mafunzo 

Address

Address :

MKUU WA CHUO,P.O.BOX 735,SHINYANGA

Phone :

+255 769 982 572

Phone:

+255 717 583 713

Email:

 This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Visitors Counter

109072
Today
Yesterday
This Week
Last Week
This Month
Last Month
All days
9
44
161
108527
550
1490
109072
Your IP: 18.118.145.114
2024-04-25 03:48

ST.JOSEPH'S COLLEGE

ST. JOSEPH'S COLLEGE SHINYANGA BRANCH, The institute of business and Management is one among the best College in the Country. In this nearest day, this college appears as an academic institution which perfome different responsibilities as an academic institution.The College performs major three activities, daily Teaching Consultations Research